Ninalo Neno Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Chorus (×2)
‘Ninalo neno juu yako, Umekataa shauri langu
Nitakutapika kinywani mwangu, Sababu umenikataa.’
Verse 1
Nikamtuma mwanangu wa pekee wala hukumsikia
Sikukata tamaa nikamtuma roho mtakatifu awe msaidizi’
Chorus (×2)
‘Ninalo neno juu yako, Umekataa shauri langu
Nitakutapika kinywani mwangu, Sababu umenikataa.’
Verse 2
‘Umekuwa kiumbe vuguvugu, Leo waishi kwangu
Kesho hauko nami watangatanga, Eh mwanadamu umenikataa’
Chorus (×2)
‘Ninalo neno juu yako, Umekataa shauri langu
Nitakutapika kinywani mwangu, Sababu umenikataa.’
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 33, Bedi Score, Bedi Lyrics