Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya
1. Wewe ni Baba wa kinilinda
We ndiye shina anipendaye
Marafiki wataponiacha
Na kukosa raha maishani
Wewe ukawa rafiki yangu.
Chorus
Jenga boma lako (Moyoni) moyoni
Moyo wangu Bwana (Tawala)tawala
Uwe rafiki yangu daima
Mawazo yangu utawale.
2. Baba nifanye mtumishi wako
Nikutukuze maishani mwangu
Sifa zangu bwana zikubali
Maovu yangu usihesabu
Uyaongoze maisha yangu.
Chorus
Jenga boma lako (Moyoni) moyoni
Moyo wangu Bwana (Tawala) tawala
Uwe rafiki yangu daima
Mawazo yangu utawale.
Uwe rafiki yangu daima
Mawazo yangu utawale (Uwe)
Uwe rafiki yangu daima
Mawazo yangu utawale.
Try and retrieve the raw audio recording for this song.
Majaoni AY, Kilifi, Kenya.
Majaoni AY Kilifi Kenya, SDA Swahili Classics, Audio Retrieval, Bedi Score, Bedi Lyrics