Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

1. Muumbaji mfalme vitu vyote vyako,
Moyo wangu ni mali yako
Ndani yangu weka neno la uzima,
Nisimame kwenye neno lako

Refrain
Nisimame kwenye neno,
Nitangaze sifa zako Bwana
Kwenye giza onyesha nuru,
Kati ya mataifa
Watu wakuone fungua njia,
Kaa nami Bwana

2. Nipe ujasiri mwingi nisimame,
Ndani yangu fanya kituo
Nisimame kama mitume wa kale,
Unifiche kwenye mbawa zako.


Kurasini SDA Choir.

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir