Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Muumbaji mfalme vitu vyote vyako,
Moyo wangu ni mali yako
Ndani yangu weka neno la uzima,
Nisimame kwenye neno lako
Refrain
Nisimame kwenye neno,
Nitangaze sifa zako Bwana
Kwenye giza onyesha nuru,
Kati ya mataifa
Watu wakuone fungua njia,
Kaa nami Bwana
2. Nipe ujasiri mwingi nisimame,
Ndani yangu fanya kituo
Nisimame kama mitume wa kale,
Unifiche kwenye mbawa zako.
Kurasini SDA Choir.