Tuesday, 10 June 2025

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Muumbaji mfalme vitu vyote vyako,
Moyo wangu ni mali yako
Ndani yangu weka neno la uzima,
Nisimame kwenye neno lako

Refrain
Nitangaze sifa zako Bwana
Kati ya mataifa
Watu wakuone fungua njia,
Kaa nami Bwana

2. Nipe ujasiri mwingi nisimame,
Ndani yangu fanya kituo
Nisimame kama mitume wa kale,
Unifiche kwenye mbawa zako.


Kurasini SDA Choir.

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...