Thursday, 17 October 2024

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers Nairobi South SDA

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers Nairobi South SDA


1. Bwana wa mabwana hatendi jambo

Bila kujulisha manabii wake

Hata siri ya siku za mwisho kawajulisha

Twayaona twasikia dalili hizi.


Refrain

Na dhambi zako umezikalia

Zikawa kama hali ya maisha

Mahubiri yote umeyasikie

Ya kila aina badiliki

Kumbuka siku zetu zimeisha

Simba wa yuda yuaja mawinguni.


2. Hebu we fanya matengenezo yako

Kuja kwa Bwana Yesu u karibu

Yawezekana usiku hata mchana

Akute u tayari kumpokea.


Cherubim Singers Nairobi South SDA.


Cherubim Singers Nairobi South SDA, Swahili SDA Songs, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...