Thursday, 11 June 2026

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir


1. Acheni Kristo, aitwe Kristo; Ni mfalme,

Yule wa zamani, Kristo wa leo hii; Ni Mfalme,

Kristo wa Msalaba, Ndiye yule ajaye

Kwa kweli; atatikisa dunia yote (dunia yote).


Refrain

Ni Kristo yule wa zamani,

Ni Kristo wa Msalaba

Aliyeshinda mauti,

Ajaye tutamuona.


2. Muda si mwingi, atarejea; Yuaja

Shika ulichonacho, Ni wakati wa taabu; Mwenzangu

Yote yalonenwa, Sasa yametimia

Kwa kweli; sasa yatosha urudi kwake (urudi kwake).


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Assorted, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics

Bwana Ujishihirishe (Bwana Harusi Bi Harusi) Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir

Bwana Ujishihirishe (Bwana Harusi Bi Harusi) Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir


1. Bwana ujishihirishe, Shuka utubariki

Kama ulivyoahidi, Shuka utubariki

Bwana harusi bi harusi, Wape kulena leo?

hata ndoa za zamani, Zote uzibariki.


Refrain

Ndoa si yako Bwana harusi,

Wala si yako bibi harusi

Ndoa ni yenu wote,

Mkiunganishwa na pendo la Mungu

(Na pendo la Mungu).


2. Yote ni mapenzi yako, Wape maisha mema

Wasipungukiwe kitu, Katika nyumba yao

Wakiwa katika shida, Jidhihirishe kwao

Uwe mwanzo, Uwe mwisho

Kwenye shida, na raha.


For Revision

1.3; Bwana harusi bi harusi, Wapekuleana leo?;  Wape kule na leo?; Wakupeana leo


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Assorted, Kurasini Classics, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir

Acheni Kristo Aitwe Kristo Lyrics Sung by Kurasini SDA Choir 1. Acheni Kristo, aitwe Kristo; Ni mfalme, Yule wa zamani, Kristo wa leo hii; ...