Monday, 11 May 2026

Safari Ya Matumaini Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Safari Ya Matumaini Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Refrain

Safari ya matumaini, Usiku umesogea

Safari ya matumaini, Mapambazuko karibu.


Verse

Usiku umeendelea, Tumepoteza matumaini

Kwa sababu mwili dhaifu, Tumelala usingizi

Amkeni wana nuru, Tembeeni katika nuru,

Nuru ya matumaini.


Refrain

Safari ya matumaini, Usiku umesogea

Safari ya matumaini, Mapambazuko karibu.


Verse

Kesheni kamwe msilale, Kuweni macho wakati wote

Mkiyachunguza maandiko, Msilale usingizi

Sauti za shangwe, Zitasikika angani,

Tumlaki Mwokozi wetu.


Refrain

Safari ya matumaini, Usiku umesogea

Safari ya matumaini, Mapambazuko karibu.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 29, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...