Sunday, 10 May 2026

Nimekombolewa Kwa Damu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Nimekombolewa Kwa Damu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Nimekombolewa kwa damu, Y thamani

Kutoka utumwa wa ddhambi

Hatia ya dhambi Yesu kabeba

Hukumu akabadilisha


Refrain

Ni mimi; Ni mimi, Mwenye dhambi, (Wa kwanza)

Ni wewe; Ni wewe, Mwenye dhambi

Aliyeangikwa kwa ajili yangu,

Na kwa ajili yako tuokolewe

Akudhamini u-ukuu wake

Ni kwa ajili yangu, Na kwa ajili yako


2. Akaacha enzi yake juu tukufu

Na kuvikwa utu wa dhambi

Na akabebeshwa hukumu yetu

Na yote akasastahimili.


Notes

Refrain Line: Akudhamini u-ukuu wake; His priesthood.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...