Kama Wanipenda (Bayona) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Refrain 1
Kama wanipenda,
---------------Simoni Bayona
Kama wanipenda,
---------------Simoni Bayona
Kama wanipenda,
---------------Simoni Bayona
Bayona; Lisha kondoo zangu
Verse 1
Enendeni ulimwenguni mkawafanye,
Watu wote kuwa wanafunzi
Mkawalee mkawatunze, Wasipotee kwenye mikono yenu
Ninatawatuma kama kondoo, kati ya mwitu (Nendeni)
Mimi niko pamoja nanyi, songeni ndani ndani
Vilindini mwa giza, wewe ni nuru safi kwa wengine
Nani aende kuwaokoa? Wito kwa mimi na wewe
Refrain 2
Bayona
---------Simoni Bayona
Kama wanipenda,
---------------Simoni Bayona
Kama wanipenda,
---------------Simoni Bayona
Bayona; Lisha kondoo zangu
Verse 2
Shangwe kubwa vigelegele juu mbinguni,
Malaika wanashangilia, kwa huyo mmoja arejeapo
Kumbuka habari ya mwana mpotevu,
Mkafukue talanta zote mlizozima/ba/pa?
(Fungua) Nyosheni mapito ya Bwana
Kuna kondoo mmoja analia jangwani, amekata tamaa ya wokovu
(Kweli) Okoa nafsi ya walioao, Wito ni kwangu mimi na wewe
Verse 3
Amkeni (Amkeni, Amkeni)
Giza la sogea (Giza la sogea)
Machweo karibu, (Machweo karibu)
Amkeni; Wokovu u mlangoni
Amkeni (Amkeni, Amkeni)
Giza la sogea (Giza la sogea)
Machweo karibu, (Machweo karibu)
Amkeni; Wokovu u mlangoni
Outro
Bwana aja na ujira mkononi,
Bwana aja na ujira mkononi.
For Revision: Verse 2, Line 4; Mkafukue talanta zote mlizozima/ba/pa?
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics