Monday, 11 May 2026

Mwili Huu Ni Dhaifu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Mwili Huu Ni Dhaifu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Refrain

Mwili huu wa dhambi, Mwili huu si kitu

Leo wachanua, Kesho wanyauka

Natamani uzima, Uzima milele

Huko nilikotoka, Bwana nirudishe.


1. Bwana alitoa, Bwana atatoa

Mwili huu wa dhambi, sio wa kudumu

Sote tutalala, sote tu mavumbi

Dunia sio kwetu, sote twapita.


Refrain

Mwili huu wa dhambi, Mwili huu si kitu

Leo wachanua, Kesho wanyauka

Natamani uzima, Uzima milele

Huko nilikotoka, Bwana nirudishe.


2. Siku inakuja, tutabadilishwa

Wote waliolala, watafufuliwa

Kufumba fumbua, tutabadilika

Shangwe vigelegele, vitasikika.


Refrain

Mwili huu wa dhambi, Mwili huu si kitu

Leo wachanua, Kesho wanyauka

Natamani uzima, Uzima milele

Huko nilikotoka, Bwana nirudishe.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Nikitazama Dunia (Ukimwi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Nikitazama Dunia ( Ukimwi ) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir 1. Nikitazama dunia, Inaombolezayo waya waya Magonjwa yenye kutisha, Yanavyowa...