Watu Hawa (Magari Na Farasi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Watu hawa wanazungumzia magari
Watu hawa wanazungumzia mafarasi
Sisi tunajivunia jina la Yesu,
Jina la Yesu, Jina la Yesu
Ushindi, Ushindi, Ushindi ni jina la Yesu.
Refrain
Ni Yesu, Ni Yesu, Ni Yesu pekee
Jiwe kuu, Jiwe la pembeni
Likiitwa mambo yote ni sawa sawa
Kila goti litapigwa kwake siku ya hukumu
Sema wasikie,
Kila goti litapigwa kwake siku ya mwisho
2. Jeshi la Farao linakuja kwa magari
Jeshi la Farao linakuja kwa farasi
Sisi tunatanguliza jina la Bwana
Jina la Bwana, Jina la Bwana
Ushindi, Ushindi, Ushindi ni jina la Bwana.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics