Monday, 11 May 2026

Fungua Macho Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Fungua Macho Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Fungua macho na uyaone,

Mambo yanayotokea duniani sasa

Yote yanatimiza unabii,

Ulione na kuhusu nyakati za mwisho

Uamuzi wa mwisho ni juu yako

Kuokoa nafsi au kuiangamiza.


Refrain

Uasi umezidi usoni mwa nchi,

Na Mungu hawezi kuvumilia

Ni kama nyakati zile za Nuhu,

Watu walikula, wakinywa na kuoana

Sauti hii ni onyo kwa dunia,

Mungu amekusudia kuiangamiza.


2. Kila ukitega masikio,

Ni vita, ni maradhi, ni mambo ya kutisha

Yote yanatimiza unabii,

Ulione na kuhusu nyakati za mwisho

Uamuzi wa mwisho ni juu yako,

Kuokoa nafsi au kuiangamiza.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...