Tuesday, 2 June 2026

Kazi Ni Yako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kazi Ni Yako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kazi ni yako tunayoifanya,

Hakuna awezaye kuizuiya

Tumeisikia sauti yako,

Hakuna awezaye kuizuiya.


Refrain

Kwa machozi mengi shambani mwa Bwana

Watumishi wako wapanda juani

Mawimbi makali kwenye mapambano

Nyosha mkono utushike.


2. Tupe ujasiri shambani mwako,

Wapandao juani wape nguvu

Wasirudi nyuma shambani mwako,

Taji zinawangoja muda kitambo.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir Vol 28, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare

Ndoa Ilibarikiwa Lyrics sung by Diana Gesare 1. Ndoa ilibarikiwa na Mungu , Ilianza pale Edeni Kwani Mungu aliona, si vyema Adamu , Awe pek...