Namwandama Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Namwandama Bwana kila siku,
Yapitayo naacha nasafiri
Kwa muda kitambo,
Nimuone Yesu, kwenye utukufu.
Refrain
Siku ikifika nimuone Yesu,
Kwenye utukufu
Ulimwengu huu hautakumbukwa,
Kwenye utukufu.
2. Namwandama Bwana angali juu,
Nione utukufu sitachoka
Katika makao,
Nami niwepo, kwenye utukufu.
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir Vol 28, Kurasini Classics, Bedi Score, Bedi Lyrics