Tuesday, 3 September 2024

Ni Mchunga (Yesu Ni Mchungaji Wangu) Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Ni Mchunga (Yesu Ni Mchungaji Wangu) Lyrics sung by The Golden Gate Choir


Prelude: Ni mchunga wangu---hu...niongoza...

1. Yesu ni mchunga wangu siogopi kitu,

Huniongoza

Hunionyesha kijito cha maji mazuri

Huongoza na roho yangu


Refrain

Hunipumuzisha kando ya kijito

Hunisaidia ndipo nipate nguvu


2. Mimi nikishambuliwa na adui zangu,

Yesu hufika

Hunipaka kichwa changu mafuta mazuri

Hukijaza kikombe changu


3. Hilo gongo lako pamoja na fimbo yako,

Hunifarijii

Huandaa meza mbele ya adui zangu

Roho yangu hupumuzika.


Outro: Ni mchunga wangu--hu...niongoza...


The Golden Gate Choir.


The Golden Gate Choir, Mukalu Kaggwa Isaac, Bedi Score, Bedi Lyrics


Texts | Psalms 23/Zaburi 23

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...