Ni Mchunga Wangu Lyrics by The Golden Gates Choir

 Ni Mchunga Wangu Lyrics by The Golden Gates Choir


Prelude: Ni mchunga wangu--hu...niongoza...

1. Yesu ni mchunga wangu siogopi kitu,

Huniongoza

Hunionyesha kijito cha maji mazuri

Huongoza na roho yangu.


Refrain

Hunipumuzisha kando ya kijito

Hunisaidia ndipo nipate nguvu.


2. Mimi nikishambuliwa na adui zangu,

Yesu hufika

Hunipaka kichwa changu mafuta mazuri

Hukijaza kikombe changu.


3. Hilo gongo lako pamoja na fimbo yako,

Hunifarijii

Huandaa meza mbele ya adui zangu

Roho yangu hupumuzika.


Outro: Ni mchunga wangu--hu...niongoza...


The Golden Gate Choir.

Texts | Psalms 23/Zaburi 23

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir