Ni Mchunga Wangu Lyrics by The Golden Gates Choir
Ni Mchunga Wangu Lyrics by The Golden Gates Choir
Prelude: Ni mchunga wangu--hu...niongoza...
1. Yesu ni mchunga wangu siogopi kitu,
Huniongoza
Hunionyesha kijito cha maji mazuri
Huongoza na roho yangu.
Refrain
Hunipumuzisha kando ya kijito
Hunisaidia ndipo nipate nguvu.
2. Mimi nikishambuliwa na adui zangu,
Yesu hufika
Hunipaka kichwa changu mafuta mazuri
Hukijaza kikombe changu.
3. Hilo gongo lako pamoja na fimbo yako,
Hunifarijii
Huandaa meza mbele ya adui zangu
Roho yangu hupumuzika.
Outro: Ni mchunga wangu--hu...niongoza...
The Golden Gate Choir.
Texts | Psalms 23/Zaburi 23
Comments
Post a Comment