Nikikumbuka/Yanipasa Lyrics sung by The Golden Gate Choir

 Nikikumbuka/Yanipasa Lyrics sung by The Golden Gate Choir


1. Nikikumbuka huruma yako ewe Bwana Yesu

Nikikumbuka mahali ambapo nilikutwa mimi

Nikikumbuka matendo mema uliyoonyesha

Yanipasa nikakutumikiye

Yanipasa nikakutumikiye


Chorus

Nitakuimbia wimbo wangu mpya

Nikutumikie kwa kuokolewa (Eh Bwana)

Nikumbuka maovu mengi niliyoyatenda

Yanipasa nikakutumikiye

Yanipasa nikakutumikiye


2. Nikikumbuka matendo mema unionyeshayo

Kwa kutoka mbinguni kwako ukaniokoe

Maumivu msalabani hata kifo chako

Yanipasa nikakutumikiye

Yanipasa nikakutumikiye


3. Nikikumbuka sauti yako iliyosikika

Nikukumbuka heshima yako kule juu mbinguni

Uliumba ulimwengu, watu hata ndege

Yanipasa nikakutumikiye

Yanipasa nikakutumikiye.


The Golden Gate Choir.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir