Nikikumbuka/Yanipasa Lyrics sung by The Golden Gate Choir
Nikikumbuka/Yanipasa Lyrics sung by The Golden Gate Choir
1. Nikikumbuka huruma yako ewe Bwana Yesu
Nikikumbuka mahali ambapo nilikutwa mimi
Nikikumbuka matendo mema uliyoonyesha
Yanipasa nikakutumikiye
Yanipasa nikakutumikiye
Chorus
Nitakuimbia wimbo wangu mpya
Nikutumikie kwa kuokolewa (Eh Bwana)
Nikumbuka maovu mengi niliyoyatenda
Yanipasa nikakutumikiye
Yanipasa nikakutumikiye
2. Nikikumbuka matendo mema unionyeshayo
Kwa kutoka mbinguni kwako ukaniokoe
Maumivu msalabani hata kifo chako
Yanipasa nikakutumikiye
Yanipasa nikakutumikiye
3. Nikikumbuka sauti yako iliyosikika
Nikukumbuka heshima yako kule juu mbinguni
Uliumba ulimwengu, watu hata ndege
Yanipasa nikakutumikiye
Yanipasa nikakutumikiye.
The Golden Gate Choir.
Comments
Post a Comment