Sunday, 20 October 2024

Katika Damu Ya Mwanakondoo Lyrics sung by Nyandema SDA Choir

Katika Damu Ya Mwanakondoo Lyrics sung by Nyandema SDA Choir

1. Katika damu ya mwanakondoo, Nimeoshwa! Nimeoshwa!

Zimeondolewa dhambi zangu, Dhambi zote! Dhambi zote! 

Refrain 1

Mimi nilikuwa mwovu kweli, Niliposhindwa na dhambi zangu

Sasa damu ni ya Mwanakondoo, Nimeoshwa! Nimeoshwa! (Zangu)


2. Mashaka yangu yametolewa, Nimeoshwa! Nimeoshwa!

Hofu ya kufa sinayo leo, Ni salama! Ni salama!

Refrain 2

Ingawa sijafahamu yote, Lakini Yesu Mwokozi wangu

Na leno lake nagetemea, Ni salama! Ni salama! (Wangu)


2. Wengi wakinidharau sana, Sitarudi! Sitarudi!

Nitawaambia watu wote, Wokovu huu! Wokovu huu!

Refrain 3

Aniongoze Mwokozi Yesu, Wengi wajue ni wake Bwana

Nitawambia watu wote, Wokovu huu! Wokovu huu! (Bwana)


Nyandema SDA Choir.


1Jo 1:7 But if we walk in the light, as he is in the light, we have fellowship one with another, and the blood of Jesus Christ his Son cleanseth us from all sin

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...