Nilikaa Katika Upweke Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

Nilikaa Katika Upweke Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

1. Nilikaa katika upweke katika giza la huzuni

Nilijaribu kutafakari Juu ya maisha haya upweke

Kumbe kando alikuwepo Mungu asikizaye maombi


Refrain

kwa hii leo amenijibu Ombi hilo nikatisha tamaa

Kwa hii sasa nasadiki Mungu hakawii 'timiza ahadi


2. Pengine umeshasumbuka Na moyo umeshavunjika

Kila uendako ni giza tu Natumai' limeshatoweka

Fikiria Yesu alivyo omba Yakatoka matone ya damu


3. Moyo wangu *umetulizwa Sina hofu juu ya faraja

kwa hii wewe ndiwe kimbilio Na wokovu wa maisha yangu

Shida taabu zinisongapo Nitaku tazama Mwokozi


Cherubim Singers, Nairobi South SDA.

*umetulizwa = Not very clear. ?umejulizwa

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA