Sunday, 20 October 2024

Pale Mlimani/Wakampiga Wakamtesa Mwokozi Lyrics sung by Nyandema SDA Choir

 Pale Mlimani/Wakampiga Wakamtesa Mwokozi Lyrics sung by Nyandema SDA Choir

1. Pale mlimani msiituni

Yesu aomba kwa ajili yetu

'Eh Baba yangu niondolee kikombe

hiki si kwa mapenzi yangu'


Refrain

Wakampiga wakamtesa

Mwokozi wetu kwa ajili yetu

Yesu akasema; 'Eh Baba yangu uwasamehe makosa yao'


2. Walipofika fuvu la kichwa

wakayagawa mavazi yake

Yesu akasema; 'Eh Baba yangu uwasamehe makosa yao'


3. Wakamtesa Mwokozi wetu/wangu

 msalabani akatunikwa

Kichwani mwake wakamvisha taji ya miiba Mwokozi wangu.


Nyandema SDA Choir.


Spiritual Texts

It would be well for us to spend a thoughtful hour each day in contemplation of the life of Christ.

We should take it point by point, and let the imagination grasp each scene,especially the closing ones. DA 83.4

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...