Tulia Sikiza/El Shaddai Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

Tulia Sikiza/El Shaddai Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

1. Tulia sikiza kwa makini

Tunaye Mungu muumba wa vyote

Hakuna miungu mwingine twapasayo kuabudu

Japo wengine wanaoamini anasa

Twambieni yote ni ubatili

Japo wengine wanaoamini waganga

Twambieni hakuna jibu kwao


Refrain

Jehova Nissi Mungu wa Israeli, El Shaddai

Aitwaye Emanueli Simba wa Yuda

Ni nani kama Mungu wetu

Ajibuaye maombi yetu

Tumsujudu tumsifu Mungu

Maana yeye ni Mungu


2. Dunia na vyote vilivyomo

Kazi ni yake Mungu muumbaji

Tazama alivyotuumba kwa mfano wake Mungu

Japo wengine wanateseka kwa magonjwa

Twambieni Yesu ni mponaji

Japo wengine wanaomboleza mauti

 

Cherubim Singers, Nairobi South SDA.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA