Yesu Mwokozi Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

Yesu Mwokozi Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA

1. Yesu mwokozi Yesu mwokozi

Nakulilia mimi mwenye dhambi

Na kwa sababu ya unyonge wangu Bwana

Naja kwako Bwana unirehemu


[Asante] Asante kwa kunikomboa mimi

kwa damu yako na dhamani

[Bwana] Nilinde ni wako Bwana wangu

Niwe chombo kamilifu kwako


2. Japo dhoruba zijatusonga

Twaegemea kwako ewe Bwana

Wewe ni ngome na kimbilio letu

Mwamba uliye imara daima


3. Ahadi zako ni za milele

Twatazamia kuja kwako Bwana

Ili tuende nawe kule mbinguni

Tukaishi nawe siku zote.


Cherubim Singers, Nairobi South SDA.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA