Ni Usiku Mtulivu Lyrics sung by The Gospel Train
Ni Usiku Mtulivu Lyrics sung by The Gospel Train
1. Ni usiku mtulivu
Bwana akaomba na wanafunzi (Haleluya)
Yakobo, Petro na Yohana
Sasa wamelala usingizi
Pre Chorus
Alibeba msalaba begani mwake
Msalaba ni mzito
Kwa ajili ya dhambi zetu (Dhambi zetu)
Taji la miiba alivalishwa kichwani mwake
Aliteswa msalabani
Kwa ajili ya dhambi zetu (Dhambi zetu)
Chorus
Alikufa kwa ajili yetu
Damu yake ilimwagika
Alilia msalabani
Mimi na wewe tuokolewe
2. Ni upendo wa jinsi gani
Aliokuwa nao Bwana Yesu (Haleluya)
Kaacha enzi yake
Aje afe kifo cha dosari
The Gospel Train, Kenya.
Comments
Post a Comment