Bwana Ameahidi (Mikaeli) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Akutane na shida zako akupe heri
Atatengeneza njia pasipo njia waja wapite
Ndiye Mungu wa yale yasiyowezekana

Refrain
Ataonyesha njia kwako katikati ya giza nene
Kati ya tanuru la moto liwakalo
Mikaeli atasimama upande wako utashinda

2. Ni Mungu anayetamka na ikawa amini leo
Fadhili na neema yake iwe juu yako
Akuinulie uso wake popote akurehemu
Ndiye Mungu wa yale yasiyowezekana.

Kurasini SDA Choir.

Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Injili Kwanza Album, Bedi Score, Bedi Lyrics

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA