Tuesday, 10 June 2025

Bwana Ameahidi (Mikaeli) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


Akutane na shida zako akupe heri
Atatengeneza njia pasipo njia waja wapite
Ndiye Mungu wa yale yasiyowezekana

Refrain
Ataonyesha njia kwako katikati ya giza nene
Kati ya tanuru la moto liwakalo
Mikaeli atasimama upande wako utashinda

2. Ni Mungu anayetamka na ikawa amini leo
Fadhili na neema yake iwe juu yako
Akuinulie uso wake popote akurehemu
Ndiye Mungu wa yale yasiyowezekana.

Kurasini SDA Choir.

Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Injili Kwanza Album, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...