Thursday, 12 June 2025

Bwana Umenichunguza Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Bwana umenichunguza kote kote
Na we’ umenijua hata kuketi kwangu
Na we’ wajua matendo yangu yote
Nikufiche nini Bwana wangu

Refrain
Hata nikijificha katika pango la giza (nene), bado ni kazi bure
Kwa mkono hodari utanitafuta huko, kila mahali uko
Njia zako za ajabu hazichunguziki, hazichunguziki
Mimi ni kiumbe wewe ni muumba
Hata nikilala chini ya bahari
Njia zangu zote waziijua
Ninajidanganya naja kwako Bwana

2. Tunajifunza somo hili kwa Yona
Alipotaka kwenda kujificha Tarshishi
Bila kujua akakutana nawe
Alipotoroka uso wako.

Kurasini SDA Choir.

Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 35, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Revise Rhythm & Flow


Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...