Kati Ya Waloachwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kati Ya Waloachwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

1. Kati ya wal’oachwa humu
Kati ya wal’opewa msamaha
Na mimi nilikuwa mmoja wao
Na mimi, Nasema; na mimi
Nikapewa msamaha

Refrain
Nikajiuliza kwa nini mimi? (kwa ni---‘mi-mi’4)
Mimi, kwa nini mimi?
Neema za Mungu ziwe juu yangu
Ni upendo wa ajabu

2. Gereza likafunguliwa
Wafungwa tuka-achwa huru
Na wote tukatoka gerezani
Na wewe, Nasema; na mimi
Nikapata msamaha.

Kurasini SDA Choir.

Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 35, For Revision, Bedi Score, Bedi Lyrics

Waloachwa; Wal’oachwa; Walioachwa

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA