Kati Ya Waloachwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Kati Ya Waloachwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Kati ya wal’oachwa humu
Kati ya wal’opewa msamaha
Na mimi nilikuwa mmoja wao
Na mimi, Nasema; na mimi
Nikapewa msamaha
Refrain
Nikajiuliza kwa nini mimi? (kwa ni---‘mi-mi’4)
Mimi, kwa nini mimi?
Neema za Mungu ziwe juu yangu
Ni upendo wa ajabu
2. Gereza likafunguliwa
Wafungwa tuka-achwa huru
Na wote tukatoka gerezani
Na wewe, Nasema; na mimi
Nikapata msamaha.
Kurasini SDA Choir.
Waloachwa; Wal’oachwa; Walioachwa