Kisha Nikaona Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kisha Nikaona Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kisha nikaona mbingu nchi mpya

Ikishuka hapo juu angani

Jeshi la malaika wanapiga vinumbi

Wakimleta Bwana harusi


Refrain

Kisha nikaona jiji Jerusalemi

Umepambwa unameta mji ni mzuri

Na wenyeji wake wapendeza

Si mbali kaza mwendo ufike pale


2. Sauti za tarumbeta zasikika

Ni ishara Yesu anarudi

Jeshi la malaika likishuka angani

Wakimleta Bwana harusi.


Kurasini SDA Choir.

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Damu Yake Lyrics sung by The Golden Gate Choir

Nyosha Mkono Wako Lyrics sung by Nyandema SDA Choir