Nimesikia Wito Wako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Nimesikia Wito Wako Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Nimesikia wito wako, Nami sitaghairi kuja kwako
Nimetambua kosa langu, Bado una makusudi juu yangu
Nimetambua kosa langu, La kutanga mbali na uso wako
Refrain
Ulisema tukibisha tutafunguliwa, Na mimi leo ninabisha kwako
Nifungulie lango la rehema, Najuta nimepoteza wakati
Nimetanga mbali na we’, Sasa yatosha najuta nisamehe
Wewe ni Bwana mwingi wa rehema, Nifungulie lango la rehema
2. Niite nikaseme nawe, Nikueleze haja za moyoni
Ninatubu maovu yangu, Kilio changu nikusamehewa
Nitamke kwa lugha gani, Nimechafuka najuta nipokee.
Kurasini SDA Choir.