Umepimwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Umepimwa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
1. Umepimwa kwenye mizani Mizani ya Bwana
Na umeonekana ndugu umepungua
Mizani ya Bwana umeonekana
Ya kwamba umepungua, Haleluya!
Refrain
Fanya matengenezo haraka
Umepimwa kwenye mizani Mizani ya Bwana
Umeonekana ndugu umepungua
Tafakari ndugu mwenendo wako, Haleluya!
2. Ajidhaniye amesimama ataanguka
Mizani ya Bwana itasimama daima
Ikisema kweli kwa matendo yako
Dhambi zitawekwa wazi, Haleluya!
Kurasini SDA Choir.