Tuesday, 10 June 2025

Sitaionea Haya (Injili Kwanza) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Sitaionea Haya (Injili Kwanza) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Sitaionea haya injili ya Yesu, Kwa maana ni uweza wake Mungu

Uweza unaoleta Wokovu, Kwa yeye anayeamini

Kwa maana waliosikia wito ni wengi, Ni nani aliyetayari?

Wote walotayari waende kwa imani, Uweza uwe juu yao.


Refrain

Injili kwanza ajenda ya moyoni, Uweza unaoleta Wokovu

Kwanza wajue habari njema, Mambo mengine mwachie Mungu

Najua vikwazo vinavyokuja, Vitazidi kuniimarisha.


2. Utayasikia mambo mengi utazame mbele, Majeraha yake ni ya kitambo

Hakuna kitu kitamshinda Yesu, Ukiwa mikononi mwake

Shetani hawezi kumshinda Simba wa Yuda, Kumbuka pigo la jangwani

Wote walotayari waende kwa imani, Uweza uwe juu yao.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Injili Kwanza Album, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...