Wanaisraeli (Una Nini Mkononi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Wanaisraeli (Una Nini Mkononi) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Chorus
Wanaisraeli wamekwama jangwani
Wameyasahau maajabu ya Mungu
'Musa una nini mkononi?
Piga mwamba watu wapate maji'
Jeshi la Farao linakuja
Nyosha fimbo yako juu ya bahari
Wakashuhudia maajabu ya Mungu
Wakapita kati ya bahari

Verse 1
Bahari ikagawanyika maajabu ya Mungu
 (Hum! Hum! Hum! Hum!...aaahaa)
Wakapita kuvuka kati ya maji ya bahari
 (Hum! Hum! Hum! Hum!...aaahaa)
Na jeshi ya Farao walipofika wakazama
 (Hum! Hum! Hum! Hum!...aaahaa)
Wakashangilia wakamsifu Mungu
Maajabu ya Mungu

Chorus
Wanaisraeli wamekwama jangwani
Wameyasahau maajabu ya Mungu
'Musa una nini mkononi?
Piga mwamba watu wapate maji'
Jeshi la Farao linakuja
Nyosha fimbo yako juu ya bahari
Wakashuhudia maajabu ya Mungu
Wakapita kati ya bahari

Verse 2
Nasi leo kama wanaisraeli wasafiri
 (Hum! Hum! Hum! Hum!...aaahaa)
Tumetangatanga jangwani tumekosa imani
 (Hum! Hum! Hum! Hum!...aaahaa)
Amini! Amini! Amini! Bwana atatimiza
 (Hum! Hum! Hum! Hum!...aaahaa)
Alivyoahidi, atakuwa nasi katika safari.

Chorus; Outro
Wanaisraeli wamekwama jangwani (wote)
Wameyasahau maajabu ya Mungu
'Musa una nini mkononi?
Piga mwamba watu wapate maji'
Jeshi la Farao linakuja
Nyosha fimbo yako juu ya bahari
Wakashuhudia maajabu ya Mungu
Wakapita kati ya bahari

Wanaisraeli wamekwama jangwani (wote)
Wameyasahau maajabu ya Mungu
'Musa una nini mkononi?
Piga mwamba watu wapate maji'
Jeshi la Farao linakuja
Nyosha fimbo yako juu ya bahari
Wakashuhudia maajabu ya Mungu
Wakapita kati ya bahari.

Kurasini SDA Choir.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA