Anza Vyote Na Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Anza Vyote Na Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Anza vyote na Bwana,

Tembea na Bwana, Furahi na Bwana ushindi

Mchana kutwa shikamana naye

Usimwache Bwana rafiki mwema

Bila Yesu ni bure, ni bure,

Ni bure, ni bure utaanguka

Anza vyote na Bwana ushindi daima

Anza vyote na Bwana ushindi daima


Refrain

Anza mambo yako alfajiri

Wewe ni wa ahadi

Ushindi wako mkononi mwa Bwana

Tegemea ushindi

Kabla anga halija chafuka,

Mpe Yesu nafasi

Machungu yako yote mpe Yesu,

(Oh) Mpe Yesu nafasi


2. Tegemea ushindi kwa Bwana

Amani kwa Bwana, Faraja kwa Bwana

Safarini utabarikiwa

Ulinzi wa Bwana uko juu yako

Usikatishwe tamaa simama imara

Pambana ufike mwisho

Anza vyote na Bwana ushindi juu yako

Anza vyote na Bwana ushindi juu yako.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Ukuta Wa Jeriko Album, Bedi Score, Bedi Lyrics

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA