Apandaye Haba Lyrics sung by Grace and Glory Singers
Apandaye Haba Lyrics sung by Grace and Glory Singers
Chorus
Apandaye haba atavuna haba
Na apandaye kwa ukarimu ni ukarimu
Kila mtu na atende kama alivyokusudia moyoni mwake
Si kwa huzuni wala si kwa lazima
Maana Mungu humpenda yeye
Atoaye kwa moyo wa ukunjufu
Tena ni mwenye heri
Verse 1
Leteni zaka kamili ghalani
Ili kimo chakula katika nyumba yangu
'Mkanijaribu kwa njia hiyo
Asema Bwana wa majeshi'
Mjue kama sitawafungulia
Madirisha yote ya mbinguni
Na kuwamwagieni baraka za mbingu
Hata isiwepo nafasi ya kutosha
Chorus
Apandaye haba atavuna haba
Na apandaye kwa ukarimu ni ukarimu
Kila mtu na atende
Kama alivyokusudia moyoni mwake
Si kwa huzuni wala si kwa lazima
Maana Mungu humpenda yeye
Atoaye kwa moyo wa ukunjufu
Tena ni mwenye heri
Verse 2
Yeye asiyemwachilia mwana wake mwenyewe
Bali kamtoa kwa ajili yetu si’ sote
Atakosaje kutukirimia
Na mambo yote, pamoja naye.
Chorus
Apandaye haba atavuna haba
Na apandaye kwa ukarimu ni ukarimu
Kila mtu na atende
Kama alivyokusudia moyoni mwake
Si kwa huzuni wala si kwa lazima
Maana Mungu humpenda yeye
Atoaye kwa moyo wa ukunjufu
Tena ni mwenye heri.
Grace and Glory Singers.
Comments