Kila Mtu Awapotezea Lyrics sung by Grace and Glory Singers

Kila Mtu Awapotezea Lyrics sung by Grace and Glory Singers


1. Kila mtu awapotezea wenye haki

Katika njia mbaya ataanguka

Katika rima lake yeye mwenyewe

Bali wakamilifu wataridhi mema

Yeye aligeuzaye sikio lake

Asisikie sheria ya Mungu

Hata sala yake ni chukizo,

Chukizo kwa Mungu


Chorus

Basi simameni katika njia kuu, Mkaone,

Mkaulize mapito ya zamani

Iwapo njia iliyo njema,

Mkaenende katika njia, Njia hiyo nzuri

Mkatubu dhambi zenu, Mkawe safi

Naye ninyi basi-ii, Mtajipatia raha katika nafsi zenu


2. Afichaye dhambi zake Hatafanikiwa

Bali yeye aziungamae na kuziacha atapata rehema

Aendaye kwa unyofu ataokolewa

Ila mkaidi wa njia zake Ataanguka mara.


Grace and Glory Singers.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA