Saturday, 13 September 2025

Nataka Zaidi (Nataka Kumwona Yesu) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Nataka, Nataka, Nataka, Nataka zaidi
Nataka zaidi, Zaidi na zaidi

Refrain
Katika Yesu (Yesu) viwete wanashangilia
Katika Yesu majibu yapatikana

2. Nataka tena Na tena,
Nataka tena Na tena,
Na tena kukaa na Yesu, Zaidiii

Outro
Nataka, Nataka, Nataka,
Nataka Zaidiii
Nataka kumjua Yesu.

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...