Tuesday, 23 September 2025

Piga Kelele Binti Israeli Lyrics sung by Grace and Glory Singers

Piga Kelele Binti Israeli Lyrics sung by Grace and Glory Singers


1. Piga e binti Zayuni piga kelele Israeli


Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,

E binti Yerusalemi,

Bwana ameziondoa hukumu zako

Mfalme wa Israeli

Yu katikati yako hutaogopa uovu tena


Furahi na kushangilia kwa moyo wako wote,

E binti Yerusalemi,

Bwana ameziondoa hukumu zako

Mfalme wa Israeli

Yu katikati yako hutaogopa uovu tena


Refrain

Achumaye juani hula kivulini

Mvumilivu hula mbivu

Tuyavumilie ya dunia japo ni machungu

Si kitambo Yesu arudi

Na tushike ufalme wake


2. “Nitawakusanya wanaousikitia mkutano wa ibada

Nitamponya yeye achechemeaye

Nitamkusanya yeye aliyefukuzwa

Nami nitawafanya sifa na raha

Miongoni mwa watu wote duniani

Nitawapa raha,” asema Bwana.


Grace and Glory Singers.

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...