Tafakari Kisa/Kisa Cha Wanaisiraeli Lyrics sung by Grace and Glory Singers

Tafakari Kisa/Kisa Cha Wanaisiraeli Lyrics sung by Grace and Glory Singers


1. Tafakari kisa cha wanaisiraeli

Walipozunguka zunguka kuta za Yeriko

Kuta zikaporomoka

Si kwa zana za vita wala bomu

Ila kwa vinubi vilivyopulizwa

Kwa uwezo wa Mungu (Kwa kweli) kuta zikaporomoka


Refrain

Waimbaji tupaze sauti zetu

Tuvunje ila zote za mwovu

Wahubiri tangazeni neno

Watu watambue Mungu ni muweza


2. Tumepewa mamlaka naye Mungu wetu

Juu ya vitu – vitu vyote ulimwenguni

Tusiwe na hofu tena

kwa imani tutayashinda yote

Roho wake Mungu yu nasi

Katika majaribu yote, Tuamini kwake Mungu.


Grace and Glory Singers.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA