Tengeneza Nyumba Yako Lyrics sung by Grace and Glory Singers

Tengeneza Nyumba Yako Lyrics sung by Grace and Glory Singers


1. '(Tengeneza wewe) Tengeneza nyumba yako,

Weka mambo sawa sawa Na ugawe mali yako

(Hakika) Hakika wewe hutaishi tena,

Kwa kweli ugonjwa wako utakumaliza’

Hezekia mfalme uliye mkuu,

'Umebaki na siku chache pekee'


Refrain

(Ombi/+langu Bwana) Ombi langu Bwana nisamehewe

Najua nafaa kwa sababu ya dhambi zangu

Rehema zako bado zadumu kwangu

Kumbuka jinsi nimekufanyia kazi

(Eh Bwana) Bwana wangu naomba nafasi nyingine


2. (Japo) Japo twakaribia kuanguka,

Mungu wetu kweli ni mwaminifu

Tukiomba msamaha kwake (kwake),

Atatupa nafasi nyingine.


Grace and Glory Singers.

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA