Wataka Kujua (Yesu Akanigusa) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Wataka Kujua (Yesu Akanigusa) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

1. Wataka kujua habari zangu (habari zangu)
Nilikuwa kipofu sasa naona
Sijui ni kwa vipi ninalojua
(Eeh) Nilikuwa kipofu sasa naona

Refrain
Yesu akanigusa nikaona (Haleluya)
Ninaona (nami) amenigusa (na-we we-we)
Nilikuwa kipofu ninaona (Haleluya)
Ninaona (nami) amenigusa

2. Nilipaza sauti nipate ona (nipate ona)
Baada ya kusikia Yesu apita
Bwana unirehemu akasikia
(Aah) Nilikuwa kipofu sasa naona.

Kurasini SDA Choir.

Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Ukuta Wa Jeriko Album, Bedi Score, Bedi Lyrics

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA