Sunday, 12 October 2025

Mapambazuko Lyrics sung by Hope Voice Group

Mapambazuko Lyrics sung by Hope Voice Group


1. Mapambazuko yako karibu Tuweni macho na ya dunia

Mapambazuko yako karibu Tuweni macho na ya dunia

Tuyaonayo yanaonyesha Mwokozi wetu yu mlangoni


Refrain

(Naacha) Naacha ya dunia nakwenda kwa Yesu

Sihitaji chochote nataka nimwone Bwana


Dunia sio kwetu (Kwetu), Kwetu ni juu mbinguni

Hitaji la moyoni (yoni) umpokee Yesu wangu

Dunia sio kwetu (Kwetu), Kwetu ni juu mbinguni

Hitaji la moyoni (yoni) umpokee Yesu wangu


2. Mwisho wa yote Tutapumzika Taabu zote zitatoweka

Mwisho wa yote Tutapumzika Taabu zote zitatoweka

Mwokozi Yesu Atayafuta machozi yote Kwa watu wake.


Hope Voice Group.


Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...