Sunday, 19 October 2025

Mlangoni Pa Moyo Lyrics sung by Light Group Ministry

Mlangoni Pa Moyo Lyrics sung by Light Group Ministry


1. Mlangoni pa moyo; Mgeni! (Amesimama)

Amesimama pale, Mgeni! (Amesimama)

Umkaribishe sasa,

Umkaribishe Mwana

Wa Baba wa upendo: Mgeni! (Umkaribishe)


2. Moyo wako kwa Bwana, Fungua (Fungulieni)

Asikuache mbali, Fungua (Fungulieni)

Umkubali Rafiki,

Roho atafariji

Naye atakutunza: Fungua (Fungulieni) 


3. Usikie sauti Ya Bwana (Uisikie)

Uyachague mambo Ya Bwana (Mambo ya Bwana)

Ufungue mlango,

Usimwambie bado

Jina lake tumai; Yu Bwana (Jina la Bwana)


4. Na ufungue moyo, Kwa Bwana (Fungulieni)

Utapewa msaada, Wa Bwana (Msaada wetu)

Uzuri utavikwa

Dhambi ataondoa,

Ukifungua moyo. Kwa Bwana (Fungulieni)


Light Group Ministry.


Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics


Nyimbo za Kristo No. 157 (There's a Stranger at the Door)


Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...