Mlangoni Pa Moyo Lyrics sung by Light Group Ministry
Mlangoni Pa Moyo Lyrics sung by Light Group Ministry
1. Mlangoni pa moyo; Mgeni! (Amesimama)
Amesimama pale, Mgeni! (Amesimama)
Umkaribishe sasa,
Umkaribishe Mwana
Wa Baba wa upendo: Mgeni! (Umkaribishe)
2. Moyo wako kwa Bwana, Fungua (Fungulieni)
Asikuache mbali, Fungua (Fungulieni)
Umkubali Rafiki,
Roho atafariji
Naye atakutunza: Fungua (Fungulieni)
3. Usikie sauti Ya Bwana (Uisikie)
Uyachague mambo Ya Bwana (Mambo ya Bwana)
Ufungue mlango,
Usimwambie bado
Jina lake tumai; Yu Bwana (Jina la Bwana)
4. Na ufungue moyo, Kwa Bwana (Fungulieni)
Utapewa msaada, Wa Bwana (Msaada wetu)
Uzuri utavikwa
Dhambi ataondoa,
Ukifungua moyo. Kwa Bwana (Fungulieni)
Light Group Ministry.
Light Group Ministry, Bedi Score, Bedi Lyrics
Nyimbo za Kristo No. 157 (There's a Stranger at the Door)
Comments