Ondoka Ukatangaze Lyrics sung by Hope Voice Group

Ondoka Ukatangaze Lyrics sung by Hope Voice Group


1. Ondoka ukatangaze hukumu (Ya Bwana), Mwisho umekaribia watubu

Waeleze kwamba Bwana yuaja, Kuhukumu watu wote kwa haki

Watangazie kwamba mwisho uko karibu, Watasimama mbele ya kiti cha hukumu

Watangazie kwamba mwisho uko karibu, Watasimama mbele ya kiti cha hukumu


Refrain

Ondoka, Peleka neno kwa wahitaji, Huduma yako yahitajika

Ni agizo lake Mungu wetu, Watu waokolewe


2. Tazama mavuno yamekomaa, Nani kwenu yu tayari aende

Ni agizo lake Bwana kwa wote, Waitwao wanafunzi wa kweli

Watasimama kuwaonya watu watubu, Wawe tayari kwa siku ile ya hukumu.


Hope Voice Group.


Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA