Ondoka Ukatangaze Lyrics sung by Hope Voice Group
Ondoka Ukatangaze Lyrics sung by Hope Voice Group
1. Ondoka ukatangaze hukumu (Ya Bwana), Mwisho umekaribia watubu
Waeleze kwamba Bwana yuaja, Kuhukumu watu wote kwa haki
Watangazie kwamba mwisho uko karibu, Watasimama mbele ya kiti cha hukumu
Watangazie kwamba mwisho uko karibu, Watasimama mbele ya kiti cha hukumu
Ondoka, Peleka neno kwa wahitaji, Huduma yako yahitajika
Ni agizo lake Mungu wetu, Watu waokolewe
2. Tazama mavuno yamekomaa, Nani kwenu yu tayari aende
Ni agizo lake Bwana kwa wote, Waitwao wanafunzi wa kweli
Watasimama kuwaonya watu watubu, Wawe tayari kwa siku ile ya hukumu.
Hope Voice Group.
Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics
Comments