Pumzi Ya Uhai Lyrics sung by Hope Voice Group

Pumzi Ya Uhai Lyrics sung by Hope Voice Group


1. Pumzi ya uhai inapotoweka, Mwili ukibaki pekee yake

Pale pale tukiwa tumelala, Neno lasema tumekufa

Pale pale tukiwa tumelala, Neno lasema tumekufa


Refrain

(Kifo) Kifo umetutenga na wazazi,

Umetutenga na watoto wetu

Wapendwa wengi wamelala,

Wanasubiri ufufuo


2. Mwili ukishushwa ndani ya kaburi, Watu wakilia kwa huzuni

Matumaini yao yatoweka, Wengi hawana msaada

Matumaini yao yatoweka, Wengi hawana msaada


3. Tunaye rafiki aloshinda kifo, Aliyefufuka toka kwa wafu

Ndiye Yesu Mwokozi wa dunia, Tukimwamini tutaishi

Ndiye Yesu Mwokozi wa dunia, Tukimwamini tutaishi.


Hope Voice Group.


Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA