Sunday, 12 October 2025

Pumzi Ya Uhai Lyrics sung by Hope Voice Group

Pumzi Ya Uhai Lyrics sung by Hope Voice Group


1. Pumzi ya uhai inapotoweka, Mwili ukibaki pekee yake

Pale pale tukiwa tumelala, Neno lasema tumekufa

Pale pale tukiwa tumelala, Neno lasema tumekufa


Refrain

(Kifo) Kifo umetutenga na wazazi,

Umetutenga na watoto wetu

Wapendwa wengi wamelala,

Wanasubiri ufufuo


2. Mwili ukishushwa ndani ya kaburi, Watu wakilia kwa huzuni

Matumaini yao yatoweka, Wengi hawana msaada

Matumaini yao yatoweka, Wengi hawana msaada


3. Tunaye rafiki aloshinda kifo, Aliyefufuka toka kwa wafu

Ndiye Yesu Mwokozi wa dunia, Tukimwamini tutaishi

Ndiye Yesu Mwokozi wa dunia, Tukimwamini tutaishi.


Hope Voice Group.


Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...