Tafakari (Itakuwaje) Lyrics sung by Hope Voice Group
Tafakari (Itakuwaje) Lyrics sung by Hope Voice Group
Prelude
Uuuh-Uuuuh, Uuuh-Uuuuh
Uuuh-Uuuuh, Uuuh-Uuuuh
Tafakari,
1. Hebu tafakari kisa kile cha wakati wa Nuhu
Waliangamizwa watu wengi kwani hawakujali
Refrain 1
Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?
Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa
Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?
Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa
Itakuwaje siku ile ya mwisho?
Tutaponaje?
Tusipojali wokovu tutaponaje siku hiyo?
Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?
Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa
Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?
Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa
2. Hata katika siku za Lutu walikataa onyo
Waliangamizwa watu wengi kwani hawakujali
Refrain 1
3. Ni mara ngapi rafiki yangu umekataa onyo?
Ni mara ngapi rafiki yangu umepuuza wito?
Refrain-2
Sasa utaponaje ndugu kama usipojali?
Utakuwa sawa na wale walioangamizwa
Sasa utaponaje ndugu kama usipojali?
Utakuwa sawa na wale walioangamizwa
Itakuwaje siku ile ya mwisho?
Tutaponaje?
Tusipojali wokovu tutaponaje siku hiyo?
Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?
Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa
Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?
Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa.
Hope Voice Group.
Comments