Tafakari (Itakuwaje) Lyrics sung by Hope Voice Group

Tafakari (Itakuwaje) Lyrics sung by Hope Voice Group


Prelude

Uuuh-Uuuuh, Uuuh-Uuuuh

Uuuh-Uuuuh, Uuuh-Uuuuh


Tafakari,


1. Hebu tafakari kisa kile cha wakati wa Nuhu

Waliangamizwa watu wengi kwani hawakujali


Refrain 1

Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?

Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa

Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?

Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa


Itakuwaje siku ile ya mwisho?

Tutaponaje?

Tusipojali wokovu tutaponaje siku hiyo?


Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?

Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa

Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?

Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa


2. Hata katika siku za Lutu walikataa onyo

Waliangamizwa watu wengi kwani hawakujali


Refrain 1


3. Ni mara ngapi rafiki yangu umekataa onyo?

Ni mara ngapi rafiki yangu umepuuza wito?


Refrain-2

Sasa utaponaje ndugu kama usipojali?

Utakuwa sawa na wale walioangamizwa

Sasa utaponaje ndugu kama usipojali?

Utakuwa sawa na wale walioangamizwa


Itakuwaje siku ile ya mwisho?

Tutaponaje?

Tusipojali wokovu tutaponaje siku hiyo?


Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?

Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa

Sasa tutaponaje sisi kama tusipojali?

Tutakuwa sawa na wale walioangamizwa.


Hope Voice Group.


Hope Voice Group, Bedi Score, Bedi Lyrics

Comments

Popular posts from this blog

Tanzania Nakupenda Lyrics Sung by Acacia Singers, Tanzania

Muumbaji Mfalme Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana wa mabwana Lyrics sung by Cherubim Singers, Nairobi South SDA