Thursday, 30 April 2026

Bwana Asema Hivi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Bwana Asema Hivi Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Bwana asema hivi sikilizeni,

Nyumba yangu kuna vita (Mnafarakana)

Mnafarakana na kutawanyika,

Nyumba yangu imejaa machafuko


Refrain

Hata lini mtatulia nikae kati yenu?

Tafakarini matendo yenu

Vita si vya damu na nyama

Ibada zenu ni bure

Tafakarini matendo yenu

Kaeni ndani yangu nami ndani yenu


2. Bwana hapendezwi na kelele zenu,

Katika hekalu lake (Hekaluni mwake)

Dunia inyamaze tukiwa huru,

Nyumba yangu imejaa machafuko.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 32, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...