Saturday, 25 April 2026

Safari Ndefu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Safari Ndefu Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Safari ndefu ya injili

Njia ni nyembamba tena imesonga (Kwa kweli)

Hapo ndipo ninatambua sauti ya Bwana

Songa mbele paza sauti (Ondoka)

Watu wangu waangamia,

Nani leo atasimama kwenye zamu yake?


Refrain

Nitajipanga kijasiri (Imara)

Kwenye safari ya injili

Ninajipanga sawa sawa Yesu yuko mbele

Bwana amenipa mamlaka (Mamlaka)

Siwezi kurudi nyuma

Safari iko palepale Vita ni vya Bwana


2. Nitasimama kwenye neno

(Hum-Hum; X2)

Nitasonga mbele njia ya injili (Kwa kweli)

(Hum-Hum; X2)

Dunia ipate kujua Yesu anarudi

Nitasimama kijasiri (Simama)

Watu wangu waangamia,

Nani leo atasimama kwenye zamu yake?


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 32, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...