Tunasubiri Bwana Lyrics sung by Kurasini SDA Choir
Pre-Chorus
Tunasubiri; Bwana
Tunasubiri; Bwana
Je wasubiri?
Tunamsubiri Bwana
1. Msifadhaike mioyoni mwenu
Mkimwamini Mungu niamini nami
Nyumbani mwa Baba kuna makao
Naenda kuandaa
Chorus
Ahadi yake Bwana ni ya kweli,
Kwamba atarudi atuchukue
Tukaishi naye milele zote,
Tutasahau ya dunia
2. Waliokata tamaa ndugu,
Na kuchoshwachoshwa na misukosuko
Na shida za dunia ya dhambi,
Yesu ndiye jibu
Chorus
Ahadi yake Bwana ni ya kweli,
Kwamba atarudi atuchukue
Tukaishi naye milele zote,
Tutasahau ya dunia
Pre-Chorus
Tunasubiri; Bwana
Tunasubiri; Bwana
Je wasubiri?
Tunamsubiri Bwana
Kurasini SDA Choir.
Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 32, Bedi Score, Bedi Lyrics