Thursday, 7 May 2026

Itakuwa Kutano Kuu Lyrics Sung by Acacia Singers, Tz

Itakuwa Kutano Kuu Lyrics Sung by Acacia Singers, Tz


1. Itakuwa kutano kuu, ambalo halitahesabika

Ni wale wale wamealikwa, Yesu atakuwa nao

Nabii wa Mungu alionyeshwa, kutano kuu wa ajabu

Ambalo mtu hawezi hesabu, ili kujua idadi yake

Umati mkubwa tena sana, Watu wa mataifa mbali mbali

Yesu Bwana, Yesu Bwana, atakuwa kati yao

Yesu Bwana, Yesu Bwana, atakuwa kati yao.

 

Refrain

Waliokombolewa watakuwa wengi sana,

Sawa na mchanga wa bahari

Ambao mtu hawezi hesabu,

Kwa wataokombolewa, je utakuwepo?

 

2. Nao watakatifu wataanguka (Wote), Mbele ya kiti cha enzi

Kumsujudu Mungu Mwenyezi, Aliyeumba mbingu na nchi

Baraka utukufu, hekima,-? Mungu wetu mtawala

Mtukufu! Mtukufu! Astahili Mungu wetu

Mtukufu! Mtukufu! Astahili Mungu wetu.

 

3. Taji zitang'aa kwao washindi (Wote), Waimba nyimbo za sifa

Mikononi mwao wana mitende, Washangilia kwa shangwe kuu (Kweli)

Ebu jiulize kwa makini, Utakuwa wapi siku hiyo?

Ndugu yangu tafakari mbona,…? cuts off –

 

This song cand be found in YouTube.

 

Note & For Revision: Baraka utukufu, hekima,-? Mungu wetu mtawala

 

Acacia Singers Tz.

 

Acacia Singers Tz Mwenge, SDA Swahili Songs, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...