Thursday, 7 May 2026

Ninakaza Mwendo (Jubili) (Jubilee) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Ninakaza Mwendo (Jubili) (Jubilee) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Ninakaza mwendo nifike, kwenye Jubili mbinguni

Japo vikwazo ni vingi, vyote vyaniimarisha

Nasafiri kwenda kwa Baba, sitaki kurudi nyuma

Hapa nilipofikia, sasa, yatosha niwe huru


Refrain

Jubili, Jubili, Jubili ya wateule,

Ni mimi na wewe tunaalikwa

Wanaimba nyimbo za ushindi,

Wakiongozwa na Yesu,

Wamesahau machungu yote,

Jubili ya wateule


2. Nitakapofika mbinguni, uso kwa uso na Yesu

Machungu yametoweka, niko kwenye utukufu

Sasa siwezi kueleza, jinsi itakavyokuwa

Hapa nilipofika, sasa, yatosha nipumzike.


Note: Wanaimba nyimbo za ushindi; Brings the future to the present moment. The Saints are singing; The Saints are singing.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...