Thursday, 7 May 2026

Leteni Zaka Kamili Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Leteni Zaka Kamili Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Leteni zaka kamili na sadaka, mpate kubarikiwa na Mungu

Tena msilete iliyo dhaifu, Mungu hapendezwi kabisa

Wala msilete kwa manung'uniko mzipate baraka zake

Nani kati yenu amefilisika, kwa kumtolea Mungu?


Refrain

Fungueni, fungueni, fungueni hazina zenu

Fungueni, fungueni, mahali palipo salama

Fungueni, fungueni, fungueni hazina zenu

Fungueni, fungueni, mahali palipo salama.


2. Baraka za Bwana zimejaa tele, kwa atoae kwa uaminifu

(Tena) Mnaweka hazina kwenye mifuko, mifuko iliyotoboka

Mjaribu Bwana nawe utaona, mibaraka ameahidi

Wekeni hazina zenu juu mbinguni, pahali pa salama.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...