Thursday, 7 May 2026

Kuna Jambo Sitaki Kusikia (Jambo Moja) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Kuna Jambo Sitaki Kusikia (Jambo Moja) Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Kuna jambo sitaki kusikia masikioni mwangu

Jambo gani?

Kwamba Shetani ameinuka

Sema tena,

Katikati ya wana wa Mungu

Tuambie,

Kuna shirika gani kati ya nuru na giza?

Haiwezekani kamwe,

Kuna shirika gani kati ya nuru na giza?

Haiwezekani kamwe.


Chorus

Jambo moja lanipa faraja

Sema, (Hakika)

Yesu anaweza yote,

Kwa jina lake mapepo yakimbia (Kimbia)

Ni mwana wa Mungu (Mwana wa Mungu)

Shetani hana mamlaka tena (tena + hakika)

Kwa watoto wa Jehova

Anausubiri moto wa milele (Milele)

Siku hiyo inakuja.


2. Kuna jambo moja nataka kusikia masikioni mwangu

Jambo gani?

Kwamba Yesu anainuliwa

Sema tena,

Katikati ya wana wa Mungu

Tuambie,

Kuna shirika gani kati ya nuru na giza?

Haiwezekani kamwe,

Kuna shirika gani kati ya nuru na giza?

Haiwezekani kamwe.


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...