Thursday, 7 May 2026

Tafuteni Kila Saa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir

Tafuteni Kila Saa Lyrics sung by Kurasini SDA Choir


1. Tafuteni kila saa kumpendeza Mungu,

Kwetu, Ajuaye shida zetu maishani mwetu

Tafuteni amani nao watu wote,

Faraja na upendo

Unapomlilia Bwana yuko karibu

Unapomlilia Bwana yuko karibu


Refrain

Mwili ni dhaifu lakini jipe moyo

Utapata nguvu toka kwa Yesu

Utapata nguvu toka kwa Yesu


2. Wamtafutao kwa bidii watabarikiwa

Watang’aa kama nyota mikononi mwake

Tafuteni amani nao watu wote,

Faraja na upendo

Unapomlilia Bwana yuko karibu

Unapomlilia Bwana yuko karibu


Kurasini SDA Choir.


Kurasini SDA Choir, Kurasini Classics, Kurasini Vol 30, Bedi Score, Bedi Lyrics

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya

Wewe Ni Baba (Jenga Boma) Lyrics sung by Majaoni AY Kilifi, Kenya 1. Wewe ni Baba wa kinilinda We ndiye shina anipendaye Marafiki wataponia...